YouVersion logo
BijbelLeesplannenVideo's
Download de app
Taalkiezer
Zoek icoon

Populaire Bijbelverzen uit Mwa 11

1

Mwa 11:6-7

Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia

SUV

BWANA akasema, Tazama, watu hawa ni taifa moja, na lugha yao ni moja; na haya ndiyo wanayoanza kuyafanya, wala sasa hawatazuiliwa neno wanalokusudia kulifanya. Haya, na tushuke huko, tuwachafulie usemi wao ili wasisikilizane maneno wao kwa wao.

Vergelijk

Ontdek Mwa 11:6-7

2

Mwa 11:4

Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia

SUV

Wakasema, Haya, na tujijengee mji, na mnara, na kilele chake kifike mbinguni, tujifanyie jina; ili tusipate kutawanyika usoni pa nchi yote.

Vergelijk

Ontdek Mwa 11:4

3

Mwa 11:9

Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia

SUV

Kwa sababu hiyo jina lake likaitwa Babeli; maana hapo ndipo BWANA alipoichafua lugha ya dunia yote; na kutoka huko BWANA akawatawanya waende usoni pa nchi yote.

Vergelijk

Ontdek Mwa 11:9

4

Mwa 11:1

Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia

SUV

Nchi yote ilikuwa na lugha moja na usemi mmoja.

Vergelijk

Ontdek Mwa 11:1

5

Mwa 11:5

Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia

SUV

BWANA akashuka ili auone mji na mnara waliokuwa wakiujenga wanadamu.

Vergelijk

Ontdek Mwa 11:5

6

Mwa 11:8

Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia

SUV

Basi BWANA akawatawanya kutoka huko waende usoni pa nchi yote; wakaacha kuujenga ule mji.

Vergelijk

Ontdek Mwa 11:8

Gratis leesplannen en overdenkingen die te maken hebben met Mwa 11

Vorig hoofdstuk
Volgend hoofdstuk
YouVersion

Moedigt jou aan en daagt je uit om elke dag gemeenschap met God te zoeken.

Bediening

Over

Carrières

Vrijwilliger

Blog

Pers

Nuttige links

Help

Bijdragen

Bijbelvertalingen

Luisterbijbels

Bijbeltalen

Tekst van de Dag


Een digitale bediening van

Life.Church
English (US)

©2025 Life.Church / YouVersion

PrivacybeleidVoorwaarden
Programma voor openbaarmaking van kwetsbaarheden
FacebookTwitterInstagramYouTubePinterest

Thuisscherm

Bijbel

Leesplannen

Video's