Matayo 7:1-2
Matayo 7:1-2 SWC02
“Musiwahukumu wengine kusudi Mungu asiwahukumu ninyi vilevile. Kwa maana mutahukumiwa kufuatana na namna munavyowahukumu wengine, na kipimo kile munachowapimia wengine ndicho kitakachotumiwa kwenu vilevile.
“Musiwahukumu wengine kusudi Mungu asiwahukumu ninyi vilevile. Kwa maana mutahukumiwa kufuatana na namna munavyowahukumu wengine, na kipimo kile munachowapimia wengine ndicho kitakachotumiwa kwenu vilevile.