Matayo 5:38-39
Matayo 5:38-39 SWC02
“Mumesikia kwamba imesemwa hivi: ‘Jicho kwa jicho, na jino kwa jino.’ Lakini mimi ninawaambia: musirudishe mabaya kwa mabaya. Kama mutu akikupiga kofi kwa shavu la kuume, umugeuzie shavu la kushoto vilevile.
“Mumesikia kwamba imesemwa hivi: ‘Jicho kwa jicho, na jino kwa jino.’ Lakini mimi ninawaambia: musirudishe mabaya kwa mabaya. Kama mutu akikupiga kofi kwa shavu la kuume, umugeuzie shavu la kushoto vilevile.