Matayo 24:9-11

Matayo 24:9-11 SWC02

“Halafu watu watawatoa kusudi muteswe na kuuawa, na watu wa mataifa yote watawachukia ninyi kwa ajili yangu. Kwa wakati ule watu wengi wataanguka katika imani yao; watatoana wao kwa wao na kuchukiana. Manabii wengi wa uongo watatokea, nao watawadanganya watu wengi.

Matayo 24 पढ्नुहोस्