Matendo ya Mitume 1:4-5

Matendo ya Mitume 1:4-5 SWC02

Siku moja alipokuwa akikusanyika pamoja nao, akawaagiza: “Musitoke Yerusalema, lakini mubaki kule mukingojea zawadi ambayo Baba yangu aliahidi, ile niliyowaambia ninyi. Kwa maana Yoane alibatiza kwa maji, lakini kisha siku chache, ninyi mutabatizwa kwa Roho Mutakatifu.”

Matendo ya Mitume 1 पढ्नुहोस्

Matendo ya Mitume 1:4-5 को लागि भिडियो