1
Mattayo MT. 21:22
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
SWZZB1921
Na yo yote mtakayoyaomba katika kusali, mkiamini, mtapokea.
तुलना
अन्वेषण गर्नुहोस् Mattayo MT. 21:22
2
Mattayo MT. 21:21
Yesu akajibu, akawaambia, Amin, nawaambieni, Mkiwa na imani, msipokuwa na shaka, mtafanya si hilo la mtini tu, lakini hatta mkiuambia mlima huu, Ngʼoka, ukatupwe baharini, itatendeka.
अन्वेषण गर्नुहोस् Mattayo MT. 21:21
3
Mattayo MT. 21:9
Na makutano waliotangulia, na waliofuata, wakapaaza sauti zao, wakinena, Utuokoe sasa, Mwana wa Daud; amebarikiwa ajae kwa jina la Bwana; Utuokoe sasa wewe uliye juu.
अन्वेषण गर्नुहोस् Mattayo MT. 21:9
4
Mattayo MT. 21:13
akawaambia, Imeandikwa, Nyumba yangu itakwitwa nyumba ya sala; bali ninyi mmeifanya kuwa pango la wanyangʼanyi.
अन्वेषण गर्नुहोस् Mattayo MT. 21:13
5
Mattayo MT. 21:5
Mwambieni binti Sayuni, Tazama, mfalme wako anakuja kwako, Mpole, amepanda punda, Na mwana punda, mtoto wa punda.
अन्वेषण गर्नुहोस् Mattayo MT. 21:5
6
Mattayo MT. 21:42
Yesu akawaambia, Hamkupata kusoma katika maandiko, Jiwe walilolikataa waashi, Hili lilikuwa jiwe kuu la pembeni; Neno hili limetoka kwa Bwana, Nalo ni ajabu machoni petu?
अन्वेषण गर्नुहोस् Mattayo MT. 21:42
7
Mattayo MT. 21:43
Kwa sababu hii nawaambieni, ya kwamba ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu, na watapewa taifa lingine wenye kuzaa matunda yake.
अन्वेषण गर्नुहोस् Mattayo MT. 21:43
होम
बाइबल
भक्त्ति पाठहरू
भिडियोहरू