1
Waroma 7:25
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Mungu ashukuriwe kwa ajili ya Bwana wetu Yesu Kristo! Basi hivi kwa upande mumoja ninatumikia sheria ya Mungu kwa akili yangu, lakini kwa upande mwingine ninatumikia sheria ya zambi kwa hali yangu ya kimwili.
तुलना
अन्वेषण गर्नुहोस् Waroma 7:25
2
Waroma 7:18
Kwa maana ninajua kwamba hakuna kitu kizuri kinachokaa ndani yangu, ni kusema katika hali yangu ya kimwili. Ni hivi kwa sababu ninakuwa na utashi wa kufanya jambo jema, lakini sifikii kulifanya.
अन्वेषण गर्नुहोस् Waroma 7:18
3
Waroma 7:19
Jambo jema ninalotaka kufanya, silifanyi, lakini jambo baya nisilotaka, ndilo ninalofanya.
अन्वेषण गर्नुहोस् Waroma 7:19
4
Waroma 7:20
Basi kama ninafanya kile nisichotaka kufanya, si mimi ninayekifanya, lakini ni ile zambi inayokaa ndani yangu.
अन्वेषण गर्नुहोस् Waroma 7:20
5
Waroma 7:21-22
Basi ninatambua kanuni hii: wakati ninapotaka kufanya jambo jema, mara moja ninavutwa kufanya jambo baya. Ndani ya roho yangu ninapendezwa na Sheria ya Mungu
अन्वेषण गर्नुहोस् Waroma 7:21-22
6
Waroma 7:16
Ikiwa kile ninachofanya ndicho nisichotaka, maana yake ninakubali ya kuwa Sheria ni nzuri.
अन्वेषण गर्नुहोस् Waroma 7:16
होम
बाइबल
भक्त्ति पाठहरू
भिडियोहरू