1
Marko 9:23
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Yesu akamwambia: “Kwa sababu gani unasema: ‘Kama unaweza?’ Yote yanawezekana kwa yule anayeamini.”
तुलना
अन्वेषण गर्नुहोस् Marko 9:23
2
Marko 9:24
Mara moja baba ya mutoto akasema kwa nguvu: “Ninaamini! Lakini unisaidie kwa ajili ya kukosa kuamini!”
अन्वेषण गर्नुहोस् Marko 9:24
3
Marko 9:28-29
Yesu alipokwisha kuingia ndani ya nyumba, wanafunzi wake wakamwuliza hivi wakiwa peke yao: “Sababu gani sisi hatukuweza kumufukuza yule pepo?” Yesu akawajibu: “Pepo wa namna hii wanaweza kufukuzwa tu kwa njia ya maombi.”
अन्वेषण गर्नुहोस् Marko 9:28-29
4
Marko 9:50
“Chumvi ni kitu kizuri. Lakini chumvi ikipoteza onjo lake, itatiwa nini kusudi ipate tena kukolea? “Muwe na chumvi ndani yenu na muishi pamoja kwa amani.”
अन्वेषण गर्नुहोस् Marko 9:50
5
Marko 9:37
“Anayemupokea mutoto mudogo kama huyu kwa ajili yangu, ananipokea mimi. Na anayenipokea, hanipokei mimi tu, lakini anamupokea vilevile yule aliyenituma.”
अन्वेषण गर्नुहोस् Marko 9:37
6
Marko 9:41
Na yeyote atakayewapa kikombe cha maji kwa ajili yangu, kwa sababu ninyi ni watu wa Kristo, kweli ninawaambia, mutu yule hatakosa kupewa zawadi yake.”
अन्वेषण गर्नुहोस् Marko 9:41
7
Marko 9:42
“Yeyote atakayeangusha mumoja wa hawa wadogo wanaoniamini, ingelikuwa heri afungiwe jiwe kubwa la kusagia katika shingo na kutupwa ndani ya bahari.
अन्वेषण गर्नुहोस् Marko 9:42
8
Marko 9:47
Kama jicho lako likikukosesha, uliongoe. Ni heri kwako kuingia katika Ufalme wa Mungu ukiwa na jicho moja, kuliko kuwa na macho mawili na kutupwa katika jehenamu.
अन्वेषण गर्नुहोस् Marko 9:47
होम
बाइबल
भक्त्ति पाठहरू
भिडियोहरू