1
Marko 15:34
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Na saa tisa Yesu akalalamika: “Eloi, Eloi, lama sabaktani” maana yake “Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?”
तुलना
अन्वेषण गर्नुहोस् Marko 15:34
2
Marko 15:39
Mukubwa wa waaskari aliyekuwa akisimama mbele ya Yesu, alipoona namna alivyokata roho, akasema: “Hakika mutu huyu alikuwa Mwana wa Mungu!”
अन्वेषण गर्नुहोस् Marko 15:39
3
Marko 15:38
Basi pazia la hekalu likapasuka vipande viwili toka juu mpaka chini.
अन्वेषण गर्नुहोस् Marko 15:38
4
Marko 15:37
Lakini Yesu akalalamika kwa sauti kubwa, akakata roho.
अन्वेषण गर्नुहोस् Marko 15:37
5
Marko 15:33
Ilipokuwa saa sita ya muchana, giza likakuwa katika inchi yote mpaka saa tisa.
अन्वेषण गर्नुहोस् Marko 15:33
6
Marko 15:15
Kwa kuwa Pilato alitaka kuwapendeza watu, basi akawafungulia Baraba. Na kisha kuamuru wamupige Yesu fimbo, akamutoa kusudi atundikwe juu ya musalaba.
अन्वेषण गर्नुहोस् Marko 15:15
होम
बाइबल
भक्त्ति पाठहरू
भिडियोहरू