1
Matayo 3:8
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Basi muonyeshe kwa njia ya matendo kwamba mumegeuka toka zambi zenu.
तुलना
अन्वेषण गर्नुहोस् Matayo 3:8
2
Matayo 3:17
Na sauti ikasikilika toka mbinguni, ikisema: “Huyu ni Mwana wangu mupendwa; ninapendezwa naye sana.”
अन्वेषण गर्नुहोस् Matayo 3:17
3
Matayo 3:16
Yesu alipokwisha kubatizwa na kutoka ndani ya maji, mara moja mbingu zikafunguka, naye akamwona Roho wa Mungu akishuka kwa mufano wa njiwa na kukaa juu yake.
अन्वेषण गर्नुहोस् Matayo 3:16
4
Matayo 3:11
Mimi ninawabatiza kwa maji kwa kuonyesha kwamba mumegeuka toka zambi zenu. Lakini yule atakayekuja nyuma yangu atawabatiza kwa Roho Mutakatifu na kwa moto. Yeye ni mwenye uwezo kunipita, nami sistahili hata kumuvua viatu.
अन्वेषण गर्नुहोस् Matayo 3:11
5
Matayo 3:10
Shoka limekwisha kuwekwa tayari kwenye mashina ya miti. Kila muti usiozaa matunda mazuri utakatwa na kutupwa katika moto.
अन्वेषण गर्नुहोस् Matayo 3:10
6
Matayo 3:3
Yoane ndiye yule Mungu aliyemutaja kwa njia ya nabii Isaya akisema: “Sauti inatangaza katika jangwa: ‘Mutengeneze njia ya Bwana, munyooshe pahali atakapopita!’ ”
अन्वेषण गर्नुहोस् Matayo 3:3
होम
बाइबल
भक्त्ति पाठहरू
भिडियोहरू