1
Luka 10:19
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Muangalie, nimewapa uwezo wa kukanyaga nyoka na nge na mamlaka ya kumushinda yule adui Shetani; wala hakuna kitu chochote kitakachowazuru.
तुलना
अन्वेषण गर्नुहोस् Luka 10:19
2
Luka 10:41-42
Bwana akamujibu: “Marta! Marta! Kwa nini unahangaika na kusumbuka kwa ajili ya vitu vingi? Kuna kitu kimoja tu cha lazima. Maria amechagua kitu kinachokuwa kizuri zaidi ambacho hakuna mutu atakayekiondoa kwake.”
अन्वेषण गर्नुहोस् Luka 10:41-42
3
Luka 10:27
Mutu yule akamujibu kwa maneno haya: “ ‘Umupende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote, kwa nguvu yako yote na kwa akili yako yote.’ Vilevile, ‘Umupende mwenzako kama vile unavyojipenda mwenyewe.’ ”
अन्वेषण गर्नुहोस् Luka 10:27
4
Luka 10:2
Akawaambia: “Mavuno ni mengi, lakini watumishi ni wachache. Basi muombe Bwana wa mavuno atume watumishi kwa kuyavuna.
अन्वेषण गर्नुहोस् Luka 10:2
5
Luka 10:36-37
Halafu Yesu akamwuliza yule mwalimu wa Sheria: “Kati ya hawa watatu ni nani aliyemutendea yule mutu aliyeshambuliwa na wanyanganyi kama vile mwenzake?” Naye akajibu: “Ni yule aliyemusikilia huruma.” Halafu Yesu akamwambia: “Kwenda, nawe ufanye sawa sawa.”
अन्वेषण गर्नुहोस् Luka 10:36-37
6
Luka 10:3
Muende! Muangalie, ninawatuma kama wana-kondoo katikati ya imbwa wa pori.
अन्वेषण गर्नुहोस् Luka 10:3
होम
बाइबल
भक्त्ति पाठहरू
भिडियोहरू