1
Yohana 4:24
BIBLIA KISWAHILI
RSUVDC
Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.
ႏွိုင္းယွဥ္
Yohana 4:24ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
2
Yohana 4:23
Lakini saa inakuja, nayo sasa ipo, ambayo waabuduo halisi watamwabudu Baba katika roho na kweli. Kwa maana Baba awatafuta watu kama hao wamwabudu.
Yohana 4:23ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
3
Yohana 4:14
lakini yeyote atakayekunywa maji yale nitakayompa mimi hataona kiu milele; bali yale maji nitakayompa yatakuwa ndani yake chemchemi ya maji, yakibubujikia uzima wa milele.
Yohana 4:14ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
4
Yohana 4:10
Yesu akajibu, akamwambia, Kama ungaliijua karama ya Mungu, naye ni nani akuambiaye, Nipe maji ninywe, ungalimwomba yeye, naye angalikupa maji yaliyo hai.
Yohana 4:10ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
5
Yohana 4:34
Yesu akawaambia, Chakula changu ndicho hiki, niyatende mapenzi yake aliyenituma, nikaimalize kazi yake.
Yohana 4:34ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
6
Yohana 4:11
Yule mwanamke akamwambia, Bwana, huna kitu cha kutekea, na kisima ni kirefu; basi umeyapata wapi hayo maji yaliyo hai?
Yohana 4:11ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
7
Yohana 4:25-26
Yule mwanamke akamwambia, Najua ya kuwa yuaja Masihi, (aitwaye Kristo); naye atakapokuja, yeye atatufunulia mambo yote. Yesu akamwambia, Mimi ninayesema nawe, ndiye.
Yohana 4:25-26ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
8
Yohana 4:29
Njoni, mtazame mtu aliyeniambia mambo yote niliyoyatenda. Je! Inawezekana kuwa huyu ndiye Kristo?
Yohana 4:29ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
ပင္မစာမ်က္ႏွာ
သမၼာက်မ္းစာ
အစီအစဥ္မ်ား
ဗီဒီယိုမ်ား