1
Yohana 3:16
BIBLIA KISWAHILI
RSUVDC
Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.
ႏွိုင္းယွဥ္
Yohana 3:16ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
2
Yohana 3:17
Maana Mungu hakumtuma Mwana ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali ulimwengu uokolewe katika yeye.
Yohana 3:17ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
3
Yohana 3:3
Yesu akajibu, akamwambia, Amin, amin, nakuambia, Mtu asipozaliwa mara ya pili, hawezi kuuona ufalme wa Mungu.
Yohana 3:3ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
4
Yohana 3:18
Amwaminiye yeye hahukumiwi; asiyeamini amekwisha kuhukumiwa; kwa sababu hakuliamini jina la Mwana pekee wa Mungu.
Yohana 3:18ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
5
Yohana 3:19
Na hii ndiyo hukumu; ya kuwa nuru imekuja ulimwenguni, na watu wakapenda giza kuliko nuru; kwa maana matendo yao yalikuwa maovu.
Yohana 3:19ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
6
Yohana 3:30
Basi hii furaha yangu imetimia. Yeye hana budi kuzidi, bali mimi kupungua.
Yohana 3:30ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
7
Yohana 3:20
Maana kila mtu atendaye mabaya huichukia nuru, wala haji kwenye nuru, matendo yake yasije yakakemewa.
Yohana 3:20ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
8
Yohana 3:36
Amwaminiye Mwana ana uzima wa milele; asiyemwamini Mwana hataona uzima, bali ghadhabu ya Mungu inamkalia.
Yohana 3:36ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
9
Yohana 3:14
Na kama vile Musa alivyomwinua yule nyoka jangwani, vivyo hivyo Mwana wa Adamu hana budi kuinuliwa
Yohana 3:14ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
10
Yohana 3:35
Baba ampenda Mwana, naye amempa vyote mkononi mwake.
Yohana 3:35ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
ပင္မစာမ်က္ႏွာ
သမၼာက်မ္းစာ
အစီအစဥ္မ်ား
ဗီဒီယိုမ်ား