1
Matendo 10:34-35
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
SCLDC10
Hapo Petro akaanza kusema: “Sasa nimetambua kwamba hakika Mungu hana ubaguzi. Mtu wa taifa lolote anayemcha Mungu na kutenda yaliyo sawa anapokelewa naye.
താരതമ്യം
Matendo 10:34-35 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
2
Matendo 10:43
Manabii wote waliongea juu yake kwamba kila mtu atakayemwamini atasamehewa dhambi zake zote kwa jina lake.”
Matendo 10:43 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക