1
Mattayo MT. 9:37-38
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
SWZZB1921
Ndipo akawaambia wanafunzi wake, Mavuno ni makubwa, bali watenda kazi wachache. Bassi mwombeni Bwana wa mavuno, apeleke watenda kazi katika mavuno yake.
Kokisana
Luka Mattayo MT. 9:37-38
2
Mattayo MT. 9:13
Lakini shikeni njia, mkajifunze maana yake maneno haya, Nataka rehema, wala si sadaka: kwa maana sikuja kuwaita wenye haki, bali wenye dhambi wapate kutubu.
Luka Mattayo MT. 9:13
3
Mattayo MT. 9:36
Na alipowaona makutano, akawahurumia, kwa maana walikuwa wamechoka na kutawanyika kama kondoo wasio na mchunga.
Luka Mattayo MT. 9:36
4
Mattayo MT. 9:12
Nae Yesu akisikia, akawaambia, Wenye afya hawahitaji tabibu, bali walio hawawezi.
Luka Mattayo MT. 9:12
5
Mattayo MT. 9:35
Na Yesu alikuwa akizunguka katika miji yote na vijiji, akifundisha katika masunagogi yao, akikhubiri injili ya ufalme, akiponya magonjwa yote na dhaifu zote katika watu.
Luka Mattayo MT. 9:35
Ndako
Biblia
Bibongiseli
Bavideo