INJILI ULIMWENGUNI - SEHEMU YA TISAಮಾದರಿ

YESU AWAPONYA WENYE UKOMA KUMI
11 Yesu alipokuwa njiani akienda Yerusalemu, alipitia mpakani mwa Samaria na Galilaya.
"12 Alipokuwa akiingia kwenye kijiji kimoja, watu kumi waliokuwa na ukoma wakakutana naye. Wakasimama mbali,
13 wakapaza sauti, wakasema, “Yesu, Bwana, tuhurumie!”
14 Alipowaona akawaambia, “Nendeni mkajionyeshe kwa makuhani.” Nao walipokuwa njiani wakienda, wakatakasika.
15 Mmoja wao alipoona kwamba amepona, akarudi kwa Yesu, akimsifu Mungu kwa sauti kuu.
"Akajitupa miguuni mwa Yesu akamshukuru. Yeye alikuwa Msamaria.
17 Yesu akauliza, “Je, hawakuponywa wote kumi? Wako wapi wale wengine tisa?
18 Hakuna hata mmoja aliyeonekana kurudi ili kumshukuru Mungu isipokuwa huyu mgeni?”
19 Yesu akamwambia, “Inuka na uende zako, imani yako imekuponya.”
ದೇವರ ವಾಕ್ಯ
ಈ ಯೋಜನೆಯ ಬಗ್ಗೆ

Mfuatano huu ni kusanyiko la hadithi kuhusu maisha Kristo itakayoshirikisha watazamaji wote ulimwenguni kwa kutumia mchanganyiko wa kuona na sauti. Maisha na mafundisho ya Yesu yalidhihirishwa katika kitabu hiki cha hadithi ambacho kinafuata masimulizi ya Agano Jipya yanayopatikana katika vitabu vya Injili vya Mathayo, Marko, Luka, na Yohana
More
ವೈಶಿಷ್ಟ್ಯದ ಯೋಜನೆಗಳು

How to Pray for Missionaries

Rebellion Meets Grace — the Story of the Prophet Jonah

Biblical Success - Crossing the Finish Line. Our Race Won, What’s Heaven Like?

Battling Addiction

Forever Open: A Pilgrimage of the Heart

GRACE Abounds for the Spouse

Journey Through Jeremiah & Lamentations

1 Samuel | Chapter Summaries + Study Questions

POWER UP: 5 Days of Inspiration for Connecting to God's Power
