1
Yohana MT. 16:33
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
SWZZB1921
Haya nimewaambieni, mpate kuwa na amani ndani yangu. Ulimwenguni mtapata shidda: lakini jipeni moyo; mimi nimeushinda ulimwengu.
ತಾಳೆಮಾಡಿ
Yohana MT. 16:33 ಅನ್ವೇಷಿಸಿ
2
Yohana MT. 16:13
Lakini ajapo yeye, Roho ya kweli, atawaongozeni katika yote iliyo kweli: kwa maana hatasema kwa shauri lake yeye, lakini yote atakayosikia, atayasema, na mambo yajayo atawapasha khabari yake.
Yohana MT. 16:13 ಅನ್ವೇಷಿಸಿ
3
Yohana MT. 16:24
Mpaka leo hamkuomba neno kwa jina langu; ombeni, na mtapata, furaha yenu iwe timilifu.
Yohana MT. 16:24 ಅನ್ವೇಷಿಸಿ
4
Yohana MT. 16:7-8
Lakini mimi nawaambieni iliyo kweli; Yawafaa ninyi mimi niondoke: kwa maana nisipoondoka, Mfariji hatakuja kwenu; bali nikienda zangu, nitampeleka kwenu. Na akiisha kuja yeye, atauhakikisha ulimwengu kwa khabari ya dhambi, na haki, na hukumu
Yohana MT. 16:7-8 ಅನ್ವೇಷಿಸಿ
5
Yohana MT. 16:22-23
Bassi na ninyi sasa hivi mna huzuni; lakini nitawaona tena, na moyo wenu utafurahi, na furaha yenu hakuna awaondoleae. Na siku ile hamtaniuliza neno. Amin, amin, nawaambieni, Mkimwomba Baba neno kwa jina langu atawapeni.
Yohana MT. 16:22-23 ಅನ್ವೇಷಿಸಿ
6
Yohana MT. 16:20
Amin, amin, nawaambieni, Ninyi mtalia, na kuomboleza, bali, ulimwengu utafurahi: ninyi mtahuzunishwa, lakini huzuni yenu itageuka kuwa furaha
Yohana MT. 16:20 ಅನ್ವೇಷಿಸಿ
ಮುಖಪುಟ
ಬೈಬಲ್
ಯೋಜನೆಗಳು
ವೀಡಿಯೊಗಳು