INJILI ULIMWENGUNI - SEHEMU YA KUMIნიმუში

YESU AMPONYA MWOMBAJI KIPOFU
"35 Yesu alipokuwa anakaribia Yeriko, kipofu mmoja alikuwa ameketi kando ya njia akiomba msaada.Kipofu huyo aliposikia umati wa watu ukipita, akauliza, “Kuna nini?” Wakamwambia,“Yesu wa Nazareti anapita.”
38 Akapaza sauti, akasema, “Yesu, Mwana wa Daudi, unirehemu!”
39 Wale waliokuwa wametangulia mbele wakamkemea wakamwambia akae kimya. Lakini yeye akapaza sauti zaidi, “Mwana wa Daudi, unirehemu!”
40 Yesu akasimama, akawaamuru huyo mtu aletwe kwake. Alipokaribia,
Yesu akamwuliza,
41 “Unataka nikufanyie nini?” Akajibu, “Bwana, nataka kuona.”
42 Yesu akamwambia, “Basi upate kuona, imani yako imekuponya.”
43 Akapata kuona saa ile ile, akamfuata Yesu, huku akimsifu Mungu. Watu wote walipoona mambo hayo, nao wakamsifu Mungu.
წმიდა წერილი
About this Plan

Mfuatano huu ni kusanyiko la hadithi kuhusu maisha Kristo itakayoshirikisha watazamaji wote ulimwenguni kwa kutumia mchanganyiko wa kuona na sauti. Maisha na mafundisho ya Yesu yalidhihirishwa katika kitabu hiki cha hadithi ambacho kinafuata masimulizi ya Agano Jipya yanayopatikana katika vitabu vya Injili vya Mathayo, Marko, Luka, na Yohana
More
Related Plans

Moments of Grace for Sisters | Devotional for Women

Jesus Is Our "Light of the World"

Sporting Life - God in 60 Seconds

Connect With God Through Movement | 7-Day Devotional

Let's Pray About It

Journey Through Kings & Chronicles Part 2

Psalm 102 - Honest Lament

Walk With God: 3 Days of Pilgrimage

God in 60 Seconds: God's Artist Heart
