INJILI ULIMWENGUNI - SEHEMU YA TANOნიმუში

MFANO WA UFALME WA MBINGUNI
44a “Ufalme wa Mbinguni unafanana na hazina iliyofichwa shambani, ambayo mtu mmoja alipoiona akaificha tena.
44b Kisha katika furaha yake, akaenda akauza vyote alivyokuwa navyo, akalinunua lile shamba.”
45 “Tena, Ufalme wa Mbinguni unafanana na mfanya biashara aliyekuwa akitafuta lulu safi.
46 Alipoipata lulu moja ya thamani kubwa, alikwenda akauza vyote alivyokuwa navyo akainunua.”
"47-48 “Tena, Ufalme wa Mbinguni ni kama wavu wa kuvua samaki uliotupwa baharini ukavua samaki wa kila aina.Ulipojaa, wavuvi wakavuta pwani, wakaketi na kukusanya samaki wazuri kuwaweka kwenye vyombo safi, lakini wale samaki wabaya wakawatupa."
49-50 Hivi ndivyo itakavyokuwa wakati wa mwisho wa dunia.
"Malaika watakuja na kuwatenganisha watu waovu na watu wenye haki.Nao watawatupa hao waovu katika tanuru la moto ambako kutakuwa na kilio na kusaga meno.”
“Je, mmeyaelewa haya yote?”
Wakamjibu, "Ndiyo"
Akawaambia,
“Basi kila mwalimu wa sheria aliyefundishwa elimu ya Ufalme wa Mbinguni ni kama mwenye nyumba anayetoa kutoka katika ghala yake mali mpya na mali ya zamani.”
Yesu alipomaliza kutoa mifano hii, akaondoka.
წმიდა წერილი
About this Plan

Mfuatano huu ni kusanyiko la hadithi kuhusu maisha Kristo itakayoshirikisha watazamaji wote ulimwenguni kwa kutumia mchanganyiko wa kuona na sauti. Maisha na mafundisho ya Yesu yalidhihirishwa katika kitabu hiki cha hadithi ambacho kinafuata masimulizi ya Agano Jipya yanayopatikana katika vitabu vya Injili vya Mathayo, Marko, Luka, na Yohana
More
Related Plans

God in 60 Seconds: God's Artist Heart

Jesus Is Our "Light of the World"

Fresh Start

Psalm 102 - Honest Lament

Sporting Life - God in 60 Seconds

Journey Through Kings & Chronicles Part 2

Connect With God Through Movement | 7-Day Devotional

Moments of Grace for Sisters | Devotional for Women

Walk With God: 3 Days of Pilgrimage
