Merki YouVersion
BiblíaÁætlanirMyndbönd
Sæktu forritið
Language Selector
Search Icon

Popular Bible Verses from 1 Mose 2

1

1 Mose 2:24

Swahili Roehl Bible 1937

SRB37

Kwa sababu hii mtu atamwacha baba yake na mama yake, agandamiane na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja.

Bera saman

Njòttu 1 Mose 2:24

2

1 Mose 2:18

Swahili Roehl Bible 1937

SRB37

Bwana Mungu akasema: Hiafai, mtu akiwa peke yake, nitamfanyizia mwenziwe wa kusaidiana naye.

Bera saman

Njòttu 1 Mose 2:18

3

1 Mose 2:7

Swahili Roehl Bible 1937

SRB37

Naye Bwana Mungu alipomwumba mtu alimtengeneza na kutumia mavumbi ya nchi, kisha akampulizia puani mwake pumzi ya uzima; ndipo, mtu alipopata kuwa mwenye roho ya uzima.

Bera saman

Njòttu 1 Mose 2:7

4

1 Mose 2:23

Swahili Roehl Bible 1937

SRB37

Adamu akasema: Kweli huyu ni mfupa utokao katika mifupa yangu, ni mwenye mwili utokao mwilini mwangu; kwa hiyo ataitwa mwanamke, kwa kuwa ametolewa katika mwanamume.

Bera saman

Njòttu 1 Mose 2:23

5

1 Mose 2:3

Swahili Roehl Bible 1937

SRB37

kwa hiyo Mungu akaibariki siku ya saba na kuitakasa, kwa kuwa siku hiyo Mungu alizipumzikia kazi zake zote, alizozifanya za kuumba.

Bera saman

Njòttu 1 Mose 2:3

6

1 Mose 2:25

Swahili Roehl Bible 1937

SRB37

Nao wote wawili, Adamu na mkewe, walikuwa wenye uchi, lakini hawakuona soni.

Bera saman

Njòttu 1 Mose 2:25

Ókeypis lestraráætlanir og hugleiðingar sem tengjast 1 Mose 2

Fyrri kafli
Næsti kafli
YouVersion

Hvetur þig áfram og skorar á þig að leita samfélags við Guð á hverjum degi.

Kirkjustarf

Um YouVersion

Starfsferill

Sjálfboðaliði

Blogg

Fjölmiðlar

Gagnlegar hlekkir

Hjálp

Gefa

Bíblíuútgáfa

Hljóðbiblíur

Tungumál Biblíunnar

Vers dagsins


Stafræn kirkja

Life.Church
English (US)

©2025 Life.Church / YouVersion

FriðhelgisstefnaSkilmálar
Vulnerability Disclosure Program
FacebookTwitterInstagramYoutubePinterest

Heim

Biblía

Áætlanir

Myndbönd