1
Mattayo MT. 4:4
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
SWZZB1921
Akajibu akasema, Imeandikwa, Mtu hataishi kwa mkate tu, illa kwa killa neno litokalo katika kinywa cha Mungu.
Bera saman
Njòttu Mattayo MT. 4:4
2
Mattayo MT. 4:10
Ndipo Yesu akamwambia, Nenda zako, Shetani: kwa maana imeandikwa, Utamsujudia Bwana Mungu wako, nae peke yake utamwabudu.
Njòttu Mattayo MT. 4:10
3
Mattayo MT. 4:7
Yesu akamwambia. Tena imeandikwa, Usimjaribu Bwana Mungu wako.
Njòttu Mattayo MT. 4:7
4
Mattayo MT. 4:1-2
NDIPO Yesu alipopandishwa na Roho hatta jangwani, illi ajaribiwe na Shetani. Akafunga siku arubaini mchana na usiku, baadae akaona njaa.
Njòttu Mattayo MT. 4:1-2
5
Mattayo MT. 4:19-20
Akawaambia, Nifuateni, nami nitawafanya kuwa wavuvi wii watu. Marra wakaziacha nyavu, wakamfuata.
Njòttu Mattayo MT. 4:19-20
6
Mattayo MT. 4:17
Tokea wakati huo Yesu akaanza kukhubiri, na kusema, Tubuni, maana ufalme wa mbinguni umekaribia.
Njòttu Mattayo MT. 4:17
Heim
Biblía
Áætlanir
Myndbönd