1
Obadia 1:17
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Lakini wale waliobaki watakaa kwa mulima Sayuni nao utakuwa mulima mutakatifu. Wazao wa Yakobo watanyanganya inchi yao toka kwa wale waliokuwa wameinyanganya.
Bera saman
Njòttu Obadia 1:17
2
Obadia 1:15
Siku inakaribia ambapo mimi Yawe nitayahukumu mataifa yote. Kama vile mulivyowatendea wengine, ndivyo mutakavyotendewa, mutalipwa kulingana na matendo yenu.
Njòttu Obadia 1:15
3
Obadia 1:3
Kiburi chako kimekudanganya: wewe unayekaa ndani ya mashimo chini ya mawe makubwa na makao yako yapo juu kwenye milima, hivyo unajisemesha: Nani anayeweza kunishusha chini?
Njòttu Obadia 1:3
4
Obadia 1:4
Hata ukiruka juu kama tai, ukifanya makao yako kati ya nyota, mimi nitakushusha chini tu. –Ni ujumbe wa Yawe.
Njòttu Obadia 1:4