Merki YouVersion
BiblíaÁætlanirMyndbönd
Sæktu forritið
Language Selector
Search Icon

Popular Bible Verses from Marko 7

1

Marko 7:21-23

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

Kwa maana ni ndani ya mutu, ni kusema ndani ya moyo wake, ndimo munamotoka mawazo mabaya yanayoleta: uzinzi, wizi, uuaji, uasherati, tamaa mbaya, matendo mabaya, ukorofi, maisha ya ovyo, wivu, matukano, majivuno na upumbafu. Maovu haya yote yanatoka ndani ya mutu, nayo yanamufanya kuwa muchafu.”

Bera saman

Njòttu Marko 7:21-23

2

Marko 7:15

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

Hakuna kitu kinachoingia ndani ya mutu kutoka inje kinachoweza kumuchafua. Lakini kitu kinachotoka ndani yake ndicho kinachomuchafua. [

Bera saman

Njòttu Marko 7:15

3

Marko 7:6

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

Yesu akawajibu: “Isaya alitabiri vema wakati alipoandika maneno haya juu yenu ninyi wanafiki: ‘Mungu anasema: Watu hawa wananiheshimu kwa midomo yao, lakini mioyo yao ni mbali nami.

Bera saman

Njòttu Marko 7:6

4

Marko 7:7

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

Ibada wanayonifanyia ni ya bure, sababu mafundisho yao yanalingana na kanuni za watu tu.’ ”

Bera saman

Njòttu Marko 7:7

5

Marko 7:8

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

Yesu akaendelea kuwaambia: “Munaacha amri za Mungu pembeni na kushika desturi za watu.

Bera saman

Njòttu Marko 7:8

Ókeypis lestraráætlanir og hugleiðingar sem tengjast Marko 7

Fyrri kafli
Næsti kafli
YouVersion

Hvetur þig áfram og skorar á þig að leita samfélags við Guð á hverjum degi.

Kirkjustarf

Um YouVersion

Starfsferill

Sjálfboðaliði

Blogg

Fjölmiðlar

Gagnlegar hlekkir

Hjálp

Gefa

Bíblíuútgáfa

Hljóðbiblíur

Tungumál Biblíunnar

Vers dagsins


Stafræn kirkja

Life.Church
English (US)

©2026 Life.Church / YouVersion

FriðhelgisstefnaSkilmálar
Vulnerability Disclosure Program
FacebookTwitterInstagramYoutubePinterest