Merki YouVersion
BiblíaÁætlanirMyndbönd
Sæktu forritið
Language Selector
Search Icon

Popular Bible Verses from Matayo 12

1

Matayo 12:36-37

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

“Ninawaambia wazi kwamba kwa Siku ya hukumu, watu watasamba kila neno lisilokuwa na maana walilosema. Kwa maana kila mutu atapata sheria au kupata azabu kufuatana na maneno yake.”

Bera saman

Njòttu Matayo 12:36-37

2

Matayo 12:34

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

Ninyi kikundi cha nyoka! Namna gani ninyi munaokuwa wabaya, munaweza kusema maneno mazuri? Kwa maana kinywa kinasema maneno yanayojaa ndani ya moyo.

Bera saman

Njòttu Matayo 12:34

3

Matayo 12:35

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

Mutu muzuri anatwaa vitu vizuri toka ndani ya akiba yake nzuri, naye mutu mubaya anatwaa vitu vibaya toka ndani ya akiba yake mbaya.

Bera saman

Njòttu Matayo 12:35

4

Matayo 12:31

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

Kwa hiyo ninawaambia: watu wataweza kusamehewa zambi zote wanazofanya na matusi yao yote. Lakini mutu anayetukana Roho Mutakatifu hatasamehewa.

Bera saman

Njòttu Matayo 12:31

5

Matayo 12:33

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

“Muti ukiwa muzuri, matunda yake yatakuwa mazuri vilevile; nao muti ukiwa mubaya, matunda yake yatakuwa mabaya vilevile. Kwa maana muti unatambulikana kwa matunda yake.

Bera saman

Njòttu Matayo 12:33

Ókeypis lestraráætlanir og hugleiðingar sem tengjast Matayo 12

Fyrri kafli
Næsti kafli
YouVersion

Hvetur þig áfram og skorar á þig að leita samfélags við Guð á hverjum degi.

Kirkjustarf

Um YouVersion

Starfsferill

Sjálfboðaliði

Blogg

Fjölmiðlar

Gagnlegar hlekkir

Hjálp

Gefa

Bíblíuútgáfa

Hljóðbiblíur

Tungumál Biblíunnar

Vers dagsins


Stafræn kirkja

Life.Church
English (US)

©2026 Life.Church / YouVersion

FriðhelgisstefnaSkilmálar
Vulnerability Disclosure Program
FacebookTwitterInstagramYoutubePinterest