1
Luka 6:38
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Muwape wengine, na Mungu atawapa ninyi. Mutapokea kipimo kikubwa kilichojaa zaidi. Kwa maana mutapimiwa na kipimo kile munachotumia kwa wengine.”
Bera saman
Njòttu Luka 6:38
2
Luka 6:45
Mutu muzuri anasema maneno mazuri kutokana na uzuri wa moyo wake. Na mutu mubaya anasema maneno mabaya kutokana na ubaya wa moyo wake. Kwa maana kinywa cha mutu kinasema maneno yanayojaa ndani ya moyo wake.
Njòttu Luka 6:45
3
Luka 6:35
Lakini muwapende waadui zenu, muwatendee mema na muwakopeshe pasipo kutumainia kurudishiwa kitu. Halafu mutapewa zawadi kubwa na mutakuwa kweli watoto wa Mungu Mukubwa kwa sababu yeye ni mwema kwa watu waovu wasiokuwa na shukrani.
Njòttu Luka 6:35
4
Luka 6:36
Mukuwe wenye huruma, kama vile Baba yenu anavyokuwa mwenye huruma.
Njòttu Luka 6:36
5
Luka 6:37
“Musiwahukumu wengine, na Mungu hatawahukumu ninyi. Musikuwe wenye kukatia wengine azabu, naye hatawaazibu ninyi. Muwasamehe wengine, na Mungu atawasamehe ninyi vilevile.
Njòttu Luka 6:37
6
Luka 6:27-28
“Lakini kwa ngambo yenu ninyi munaonisikiliza ninawaambia: muwapende waadui zenu. Muwatendee mema wale wanaowachukia. Muwaombee baraka wale wanaowalaani. Muwaombee wale wanaowaonea.
Njòttu Luka 6:27-28
7
Luka 6:31
Muwatendee wengine sawasawa munavyotaka wawatendee ninyi vilevile.
Njòttu Luka 6:31
8
Luka 6:29-30
Kama mutu akikupiga kofi kwa shavu moja, umugeuzie lingine vilevile. Kama mutu akikunyanganya koti yako, umwachie shemizi yako vilevile. Mutu akikuomba kitu umupe nacho, na anayekunyanganya vitu vyako, usiombe akurudishie.
Njòttu Luka 6:29-30
9
Luka 6:43
“Hakuna muti muzuri unaoweza kutoa matunda mabaya, wala hakuna muti mubaya unaoweza kutoa matunda mazuri.
Njòttu Luka 6:43
10
Luka 6:44
Kwa maana kila muti unajulikana kwa njia ya matunda yake. Watu hawachumi matunda ya tini au mizabibu juu ya miti ya miiba.
Njòttu Luka 6:44