1
Luka 24:49
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Na mimi mwenyewe nitawatumia zawadi ile Baba yangu aliyoahidi ishuke juu yenu. Lakini mungojee kule Yerusalema mpaka mutakapojazwa uwezo kutoka juu.”
Bera saman
Njòttu Luka 24:49
2
Luka 24:6
Yeye hayuko hapa; amefufuka! Mukumbuke jinsi alivyowaambia wakati alipokuwa angali Galilaya.
Njòttu Luka 24:6
3
Luka 24:31-32
Halafu, macho yao yakafumbuliwa, wakamutambua. Lakini yeye akatoweka, nao hawakumwona tena. Basi wakasemezana: “Mioyo yetu ilichangamuka sana wakati alipokuwa akisimulia nasi katika njia na kutuelezea Maandiko Matakatifu.”
Njòttu Luka 24:31-32
4
Luka 24:46-47
akiwaambia: “Imeandikwa katika Maandiko Matakatifu kwamba Kristo atateswa na kufufuka kwa siku ya tatu kisha kufa kwake. Iliandikwa vilevile kwamba kwa jina lake watahubiri mataifa yote, kuanzia Yerusalema, kusudi wageuke toka katika zambi na wapate kusamehewa.
Njòttu Luka 24:46-47
5
Luka 24:2-3
Walipofika, wakakuta jiwe kubwa limekwisha kusukumwa pembeni ya kiingilio cha kaburi. Lakini walipoingia ndani ya kaburi hawakuona maiti ya Bwana Yesu.
Njòttu Luka 24:2-3
Heim
Biblía
Áætlanir
Myndbönd