Merki YouVersion
BiblíaÁætlanirMyndbönd
Sæktu forritið
Language Selector
Search Icon

Popular Bible Verses from Luka 16

1

Luka 16:10

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

Yule anayekuwa mwaminifu katika vitu vichache, yuko mwaminifu vilevile katika vitu vingi. Na yule asiyekuwa mwaminifu katika vitu vichache, hayuko mwaminifu vilevile katika vitu vingi.

Bera saman

Njòttu Luka 16:10

2

Luka 16:13

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

“Hakuna mutumishi anayeweza kutumikia wabwana wawili. Kwa maana atamuchukia mumoja na kumupenda mwingine; au atashikamana na mumoja na kumuzarau mwingine. Hamuwezi kumutumikia Mungu na kutumikia mali vilevile.”

Bera saman

Njòttu Luka 16:13

3

Luka 16:11-12

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

Basi kama ninyi hamukukuwa waaminifu kwa kulinda mali ya dunia hii, ni nani atakayeweza kuwatumainia kwa kulinda mali ya kweli? Na kama hamuwezi kulinda mali ya mutu mwingine kwa uaminifu, ni nani atakayewapa mali yenu ya pekee?

Bera saman

Njòttu Luka 16:11-12

4

Luka 16:31

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

Lakini Abrahamu akamwambia: ‘Kama wandugu zako hawasikilizi maonyo ya Musa na ya manabii, hawatasadiki hata mutu aliyefufuka.’ ”

Bera saman

Njòttu Luka 16:31

5

Luka 16:18

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

“Kila mutu anayemufukuza muke wake na kuoa mwingine, anazini; na mutu anayemwoa yule muke aliyefukuzwa anazini vilevile.

Bera saman

Njòttu Luka 16:18

Ókeypis lestraráætlanir og hugleiðingar sem tengjast Luka 16

Fyrri kafli
Næsti kafli
YouVersion

Hvetur þig áfram og skorar á þig að leita samfélags við Guð á hverjum degi.

Kirkjustarf

Um YouVersion

Starfsferill

Sjálfboðaliði

Blogg

Fjölmiðlar

Gagnlegar hlekkir

Hjálp

Gefa

Bíblíuútgáfa

Hljóðbiblíur

Tungumál Biblíunnar

Vers dagsins


Stafræn kirkja

Life.Church
English (US)

©2026 Life.Church / YouVersion

FriðhelgisstefnaSkilmálar
Vulnerability Disclosure Program
FacebookTwitterInstagramYoutubePinterest