1
Mwanzo 50:20
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Ninyi mulitaka kunitendea vibaya, lakini Mungu alikusudia mema kusudi watu wengi wapate kuwa wazima kama vile munavyoona leo.
Bera saman
Njòttu Mwanzo 50:20
2
Mwanzo 50:19
Lakini Yosefu akawaambia: “Musiogope, mimi ni pahali pa Mungu?
Njòttu Mwanzo 50:19
3
Mwanzo 50:21
Basi, musiogope. Mimi nitawapa chakula pamoja na watoto wenu.” Basi akawafariji na kusema nao vizuri.
Njòttu Mwanzo 50:21
4
Mwanzo 50:17
‘Mumwambie Yosefu kwa ajili yangu: Tafazali uwasamehe wandugu zako makosa yao mabaya na maovu yote waliyokutendea.’ Sasa basi, tafazali usamehe uovu tuliokutendea sisi watumishi wa Mungu wa baba yako.” Yosefu alipopata ujumbe huu, akalia.
Njòttu Mwanzo 50:17
5
Mwanzo 50:24
Kisha Yosefu akawaambia wandugu zake: “Mimi sasa ninakaribia kufa. Lakini Mungu hakika atawafikia kwa kuwasaidia. Atawatoa katika inchi hii na kuwapeleka katika inchi aliyowaapia Abrahamu, Isaka na Yakobo.”
Njòttu Mwanzo 50:24
6
Mwanzo 50:25
Kisha Yosefu akawaapiza wana wa Israeli, akisema: “Mungu atakapowafikia kwa kuwasaidia, muhakikishe kwamba mutapeleka mifupa yangu kutoka huku.”
Njòttu Mwanzo 50:25
7
Mwanzo 50:26
Basi, Yosefu akakufa kule Misri, akiwa na umri wa miaka mia moja na kumi. Nao wakapakaa mwili wake dawa kusudi usioze, wakauweka katika sanduku kule Misri.
Njòttu Mwanzo 50:26
Heim
Biblía
Áætlanir
Myndbönd