1
Mwanzo 46:3
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Mungu akamwambia: “Mimi ni Mungu, Mungu wa baba yako. Usiogope kwenda Misri. Utakapokuwa kule, nitakufanya kuwa taifa kubwa.
Bera saman
Njòttu Mwanzo 46:3
2
Mwanzo 46:4
Mimi mwenyewe nitakwenda pamoja nawe kule Misri na kukurudisha huku. Utakapokufa, mukono wa Yosefu ndio utakaofumba macho yako.”
Njòttu Mwanzo 46:4
3
Mwanzo 46:29
Yosefu akapanda gari lake la farasi, akakwenda kumupokea baba yake Israeli, kule Goseni. Alipomufikia baba yake, alimukumbatia na kulia kwa kitambo kirefu.
Njòttu Mwanzo 46:29
4
Mwanzo 46:30
Israeli akamwambia Yosefu: “Hata nikikufa sasa si kitu kwa sababu nimeuona uso wako na kujua kwamba wewe uko muzima!”
Njòttu Mwanzo 46:30
Heim
Biblía
Áætlanir
Myndbönd