1
Mwanzo 43:23
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Yule musimamizi akawajibu: “Musikuwe na wasiwasi, wala musiogope. Bila shaka Mungu wenu, Mungu wa baba yenu, ndiye aliyewarudishia feza katika mifuko yenu. Mimi nilipokea feza yenu.” Kisha akawaletea Simeoni, ndugu yao.
Bera saman
Njòttu Mwanzo 43:23
2
Mwanzo 43:30
Yosefu akatoka pahali pale kwa haraka, kwa sababu ya hamu kubwa juu ya ndugu yake, akatafuta pahali pa kulilia. Akaingia ndani ya chumba chake na kuanza kulia.
Njòttu Mwanzo 43:30
Heim
Biblía
Áætlanir
Myndbönd