1
Mwanzo 40:8
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Wakamujibu: “Tuna huzuni kwa sababu tumeota ndoto na hakuna anayeweza kututafsiria ndoto zetu.” Yosefu akawaambia: “Kutafsiri ndoto si kazi ya Mungu? Basi, muniambie ndoto zenu.”
Bera saman
Njòttu Mwanzo 40:8
2
Mwanzo 40:23
Hata hivyo, yule mutunza vinywaji mukubwa akamusahau Yosefu, pahali pa kumukumbuka.
Njòttu Mwanzo 40:23
Heim
Biblía
Áætlanir
Myndbönd