1
Mwanzo 37:5
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Usiku mumoja, Yosefu akaota ndoto, lakini alipowaelezea wandugu zake, wao wakazidi kumuchukia.
Bera saman
Njòttu Mwanzo 37:5
2
Mwanzo 37:3
Israeli alimupenda Yosefu kuliko watoto wake wote kwa sababu alikuwa amezaliwa wakati wa uzee wake. Alimupa Yosefu kanzu nzuri sana.
Njòttu Mwanzo 37:3
3
Mwanzo 37:4
Lakini wandugu zake walipoona kwamba baba yao alimupenda Yosefu kuliko wao, wakamuchukia hata hawakuzungumuza naye kwa amani.
Njòttu Mwanzo 37:4
4
Mwanzo 37:9
Kisha Yosefu akaota ndoto ingine, akawaelezea wandugu zake akisema: “Musikilize, nimeota ndoto nyingine. Nimeona jua, mwezi na nyota kumi na moja vinainamia mbele yangu.”
Njòttu Mwanzo 37:9
5
Mwanzo 37:11
Wandugu zake wakamwonea wivu, lakini baba yake akakuwa anafikiri juu ya jambo hilo.
Njòttu Mwanzo 37:11
6
Mwanzo 37:6-7
Aliwaambia: “Musikilize ndoto niliyoota: Niliota kwamba sisi wote tulikuwa katika shamba tukifunga miganda. Kwa rafla muganda wangu ukainuka na kusimama wima. Miganda yenu ikakusanyika kuuzunguka na kuinamia mbele ya muganda wangu.”
Njòttu Mwanzo 37:6-7
7
Mwanzo 37:20
Basi, tumwue na kumutupa ndani ya shimo moja. Kisha tutasema kwamba ameuawa na nyama wa pori. Halafu tutaona hizo ndoto zake zitakuwa namna gani.”
Njòttu Mwanzo 37:20
8
Mwanzo 37:28
Wachuuzi Wamidiani walipofika pahali pale, wale wandugu wakamwondoa Yosefu katika shimo, wakamwuzisha kwa Waisimaeli kwa bei ya vikoroti makumi mbili vya feza; nao wakamupeleka Yosefu Misri.
Njòttu Mwanzo 37:28
9
Mwanzo 37:19
Wakaambiana: “Muangalie! Yule mwota ndoto anakuja.
Njòttu Mwanzo 37:19
10
Mwanzo 37:18
Wandugu zake walipomwona akiwa mbali na mbele hajafika karibu, wakafanya mupango wa kumwua.
Njòttu Mwanzo 37:18
11
Mwanzo 37:22
Musimwange damu. Mumutumbukize katika shimo hili hapa katika mbuga, lakini musimuzuru.” Alisema hivyo kusudi aweze kumwokoa Yosefu kutoka mikono yao na kisha amurudishe kwa baba yake.
Njòttu Mwanzo 37:22
Heim
Biblía
Áætlanir
Myndbönd