1
Mwanzo 3:6
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Basi, mwanamuke alipoona kwamba muti ule ni muzuri kwa chakula, unavutia macho, na kwamba unafaa kwa kupata hekima, akachuma tunda lake, akakula, akamupa mume wake aliyekuwa pamoja naye, naye vilevile akakula.
Bera saman
Njòttu Mwanzo 3:6
2
Mwanzo 3:1
Nyoka alikuwa mwerevu kuliko nyama wote wa pori walioumbwa na Yawe Mungu. Basi, nyoka akamwambia yule mwanamuke: “Ni kweli Mungu alisema musikule matunda ya muti wowote katika bustani?”
Njòttu Mwanzo 3:1
3
Mwanzo 3:15
Nitaweka uadui kati yako na yule mwanamuke, kati ya uzao wako na uzao wake. Yeye ataponda kichwa chako, nawe utamwuma kisigino chake.”
Njòttu Mwanzo 3:15
4
Mwanzo 3:16
Kisha akamwambia mwanamuke: “Nitakuzidishia uchungu wa kuzaa, Utazaa watoto kwa uchungu. Utakuwa na hamu na mume wako, naye atakutawala.”
Njòttu Mwanzo 3:16
5
Mwanzo 3:19
Kwa jasho la uso wako utajipatia chakula, mpaka utakaporudi katika udongo, maana ulitwaliwa katika udongo. Wewe ni mavumbi na utarudi katika mavumbi.”
Njòttu Mwanzo 3:19
6
Mwanzo 3:17
Kisha akamwambia yule mwanaume: “Wewe umemusikiliza muke wako na kula matunda ya muti ambayo nilikuamuru usikule. Basi, udongo umelaaniwa kwa sababu yako. Kwa jasho utajipatia toka humo chakula chako, siku zote za maisha yako.
Njòttu Mwanzo 3:17
7
Mwanzo 3:11
Yawe akamwuliza: “Nani aliyekuambia kwamba uko uchi? Umekula tunda la muti nililokuamuru usikule?”
Njòttu Mwanzo 3:11
8
Mwanzo 3:24
Alimufukuza inje. Akaweka makerubi upande wa mashariki wa bustani ya Edeni wakiwa na upanga wa moto uliogeuka huku na kule, kwa kulinda njia inayokwenda kwenye muti wa uzima.
Njòttu Mwanzo 3:24
9
Mwanzo 3:20
Adamu akamupa muke wake jina “Eva”, maana alikuwa mama wa wanadamu wote.
Njòttu Mwanzo 3:20
Heim
Biblía
Áætlanir
Myndbönd