Zefania UTANGULIZI
UTANGULIZI
Zefania alihubiri ujumbe wa Mungu katika inchi ya Yuda kati ya mwaka wa 640 na 620 mbele ya Kristo.
Kitu kikubwa katika mahubiri yake ni kwamba Mungu atawaazibu watu wa Yuda na Yerusalema kwa sababu walitumikia miungu ya uongo. Wakati huo atakapowaazibu ndio wakati ule unaotajwa kama Siku ya Yawe. Hata mataifa jirani na Yuda nayo vilevile yataazibiwa. Lakini katika siku zinazokuja Yerusalema itamutumikia Mungu, naye Mungu atawafanikisha tena watu wake.
Nke Ahọpụtara Ugbu A:
Zefania UTANGULIZI: SWC02
Mee ka ọ bụrụ isi
Kesaa
Lee anya n'etiti ihe abụọ
Mapịa
Ịchọrọ ka echekwaara gị ihe ndị gasị ị mere ka ha pụta ìhè ná ngwaọrụ gị niile? Debanye aha gị ma ọ bụ mee mbanye
Bible in Swahili Congo © Bible Society of the Democratic Republic of Congo (DRC), 2002.