Nahumu UTANGULIZI
UTANGULIZI
Kitabu hiki kidogo cha Nahumu kinatangaza kuteketezwa kwa Ninawe, muji mukubwa wa utawala wa Asuria ulioanguka katika mwaka wa 612 mbele ya Kristo. Nahumu anatabiri na kueleza waziwazi juu ya maangamizi hayo. Yeye anajulikana kama mumoja wa washairi wakubwa wa Israeli: (2.4–3.19). Kuanguka kwa muji Ninawe ni azabu kutoka kwa Mungu ambaye anawaazibu wote wanaopinga mapenzi yake. Kitabu kinakumbusha na kutilia mukazo kwamba Yawe anauazibu unyanganyi, uovu na maisha ovyo ya watu.
Nke Ahọpụtara Ugbu A:
Nahumu UTANGULIZI: SWC02
Mee ka ọ bụrụ isi
Kesaa
Lee anya n'etiti ihe abụọ
Mapịa
Ịchọrọ ka echekwaara gị ihe ndị gasị ị mere ka ha pụta ìhè ná ngwaọrụ gị niile? Debanye aha gị ma ọ bụ mee mbanye
Bible in Swahili Congo © Bible Society of the Democratic Republic of Congo (DRC), 2002.