Maombolezo UTANGULIZI
UTANGULIZI
Kitabu hiki kidogo cha Maombolezo ni mukusanyiko wa mashairi tano, ambamo mwandishi anaomboleza juu ya kuteketezwa kwa Yerusalema mwaka 586 mbele ya Kristo. Katika ibada za Wayuda mashairi hayo yalitumiwa kila mwaka kwa wakati wa kukumbuka kuharibiwa kwa hekalu la kwanza.
Mashairi ine ya kwanza katika Kiebrania yameandikwa kwa kufuata utaratibu wa alfabeti 22 za Kiebrania. Kutokana na matengeneo hayo, sura 1, 2 na 4 zina aya 22, wakati sura ya 3 ina aya 66.
Nke Ahọpụtara Ugbu A:
Maombolezo UTANGULIZI: SWC02
Mee ka ọ bụrụ isi
Mapịa
Lee anya n'etiti ihe abụọ
Kesaa
Ịchọrọ ka echekwaara gị ihe ndị gasị ị mere ka ha pụta ìhè ná ngwaọrụ gị niile? Debanye aha gị ma ọ bụ mee mbanye
Bible in Swahili Congo © Bible Society of the Democratic Republic of Congo (DRC), 2002.