Yoshua UTANGULIZI
UTANGULIZI
Jina la kitabu hiki linatokana na mutu mwenye heshima ambaye anahusika sana katika mambo tunayosimuliwa humu, ni kusema Yoshua. Yoshua alipewa madaraka ya kuwaongoza Waisraeli nyuma ya kifo cha Musa. Aliwaongoza Waisraeli mpaka walipoinyanganya ile inchi ambayo Mungu alikuwa ameahidi kuwapa. Kitabu hiki kinaeleza jinsi Waisraeli walivyoingia katika inchi ya Kanana, wakarizi inchi hiyo na kuigawanya. Kina sehemu hizi:
Sura 1-12: Kuteka Kanana.
Sura 13-21: Jinsi inchi inavyogawanyiwa makabila ya Israeli
Sura 22: Kurudi kwa makabila ya mashariki katika sehemu yao
Sura 23: Hotuba ya Yoshua ya kuwaaga Waisraeli
Sura 24: Kuhakikisha agano kati ya Yawe na Waisraeli
Nke Ahọpụtara Ugbu A:
Yoshua UTANGULIZI: SWC02
Mee ka ọ bụrụ isi
Kesaa
Lee anya n'etiti ihe abụọ
Mapịa
Ịchọrọ ka echekwaara gị ihe ndị gasị ị mere ka ha pụta ìhè ná ngwaọrụ gị niile? Debanye aha gị ma ọ bụ mee mbanye
Bible in Swahili Congo © Bible Society of the Democratic Republic of Congo (DRC), 2002.