Akara Njirimara YouVersion
Akara Eji Eme Ọchịchọ

Danieli UTANGULIZI

UTANGULIZI
Sehemu mbili zinaonekana wazi katika kitabu hiki:
Sura 1-6. Ni juu ya mambo yaliyowapata Danieli na warafiki zake katika uhamisho wa Wayuda kule Babeli karibu na miaka mia sita mbele ya Kristo. Waliokolewa kutoka mambo mbalimbali ya taabu kwa sababu ya tegemeo lao kwa Mungu na utii wao uliolingana na imani yao.
Sura 7-12. Sehemu hii inatupatia maono mbalimbali ya Danieli ambamo tawala fulani za ulimwengu wa nyakati hizo zinahusika: Babeli, Medi, Persia na Ugriki. Maono yote yanaeleza kwa mifano na maelezo.

Nke Ahọpụtara Ugbu A:

Danieli UTANGULIZI: SWC02

Mee ka ọ bụrụ isi

Mapịa

Lee anya n'etiti ihe abụọ

Kesaa

None

Ịchọrọ ka echekwaara gị ihe ndị gasị ị mere ka ha pụta ìhè ná ngwaọrụ gị niile? Debanye aha gị ma ọ bụ mee mbanye