1 Samweli UTANGULIZI
UTANGULIZI
Nabii Samweli ambaye jina lake lilipewa kwa kitabu hiki na kile cha pili kinachofuata, alikuwa mumoja wa “Waamuzi” wa mwisho ambao Mungu aliwapatia watu wake. Kitabu hiki kinasema juu ya kuanzishwa kwa utawala wa kifalme katika inchi ya Israeli.
Kitabu hiki cha kwanza cha Samweli kina sehemu tatu:
Sura 1-7: Zinaelekea hasa Samweli mwenyewe.
Sura 8-15: Samweli na Saulo.
Sura 16-37: Saulo na Daudi.
Nke Ahọpụtara Ugbu A:
1 Samweli UTANGULIZI: SWC02
Mee ka ọ bụrụ isi
Mapịa
Lee anya n'etiti ihe abụọ
Kesaa
Ịchọrọ ka echekwaara gị ihe ndị gasị ị mere ka ha pụta ìhè ná ngwaọrụ gị niile? Debanye aha gị ma ọ bụ mee mbanye
Bible in Swahili Congo © Bible Society of the Democratic Republic of Congo (DRC), 2002.