1
Yoshua 1:9
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Kumbuka kwamba mimi nimekuamuru ukuwe imara na hodari. Usiogope wala usifazaike kwa sababu mimi Yawe, Mungu wako, niko pamoja nawe popote utakapoenda.”
Lee anya n'etiti ihe abụọ
Nyochaa Yoshua 1:9
2
Yoshua 1:8
Hakikisha kwamba hautakisahau hata kidogo kitabu hiki cha sheria; lakini kila siku utajifunza kitabu hiki, muchana na usiku, kusudi upate kutimiza yote yaliyoandikwa humu, nawe utastawi na kufanikiwa.
Nyochaa Yoshua 1:8
3
Yoshua 1:7
Ukuwe tu imara na hodari. Ukuwe mwangalifu na kushika sheria yote mutumishi wangu Musa aliyokuamuru. Fuata kila sehemu ya sheria hiyo nawe utafanikiwa popote utakapoenda.
Nyochaa Yoshua 1:7
4
Yoshua 1:5
Hakuna mutu atakayekushinda siku zote za maisha yako. Nitakuwa pamoja nawe kama nilivyokuwa pamoja na Musa. Siku zote nitakuwa nawe wala sitakuacha hata kidogo.
Nyochaa Yoshua 1:5
5
Yoshua 1:6
Ukuwe imara na hodari kwa sababu wewe utawaongoza watu hawa kuirizi inchi ambayo niliwaahidi kwamba nitawapa wazee wao.
Nyochaa Yoshua 1:6
6
Yoshua 1:3
Kila pahali mutakapokanyaga nimewapa ninyi nafasi ile kama nilivyomwahidi Musa.
Nyochaa Yoshua 1:3
7
Yoshua 1:2
“Mutumishi wangu Musa amekufa, sasa muvuke muto Yordani, wewe pamoja na Waisraeli wote mpaka kwenye inchi ile ambayo ninawapa.
Nyochaa Yoshua 1:2
8
Yoshua 1:1
Nyuma ya kifo cha Musa mutumishi wa Yawe, Yawe alimwambia Yoshua mwana wa Nuni, musaidizi wa Musa
Nyochaa Yoshua 1:1
9
Yoshua 1:4
Mipaka ya inchi yenu itakuwa hivi: upande wa kusini ni jangwa, kaskazini ni milima ya Lebanoni, mashariki ni muto ule mukubwa Furati, kupitia inchi yote ya Wahiti mpaka bahari ya Mediteranea upande wa magaribi.
Nyochaa Yoshua 1:4
10
Yoshua 1:18
Mutu yeyote atakayeasi amri yako au kukataa kutii maneno yako au jambo lolote unalomwamuru, atauawa. Lakini, wewe ukuwe na nguvu na kuwa hodari.”
Nyochaa Yoshua 1:18
11
Yoshua 1:11
“Mupite katika kambi na kuwaamuru watu watayarishe chakula, kwa sababu kisha siku tatu mutavuka muto Yordani, kwenda kuirizi inchi ambayo Yawe, Mungu wenu, anawapa ikuwe mali yenu.”
Nyochaa Yoshua 1:11