1
Mwanzo 18:14
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Kuna jambo lolote lisilowezekana kwa Yawe? Nitakurudilia wakati uliopangwa, kwa wakati kama huu katika mwaka, na Sara atakuwa na mutoto mwanaume.”
Lee anya n'etiti ihe abụọ
Nyochaa Mwanzo 18:14
2
Mwanzo 18:12
Kwa hiyo, Sara alicheka kimoyomoyo akisema: “Mimi ni muzee, na mume wangu vilevile. Basi, nikiwa muzee hivi, nitaweza kufurahi na kupata watoto?”
Nyochaa Mwanzo 18:12
3
Mwanzo 18:18
Yeye atakuwa baba wa taifa kubwa na kwa njia yake mataifa yote ya ulimwengu yatabarikiwa!
Nyochaa Mwanzo 18:18
4
Mwanzo 18:23-24
Basi, Abrahamu akamukaribia Yawe, akamwuliza: “Ni kweli utawaangamiza watu wa haki pamoja na waovu? Labda kuna watu wa haki makumi tano katika muji. Utauangamiza muji muzima kuliko kuuacha kwa sababu ya wale wa haki makumi tano wanaokuwa mule?
Nyochaa Mwanzo 18:23-24
5
Mwanzo 18:26
Yawe akamwambia: “Nikikuta watu wa haki makumi tano kule katika muji wa Sodoma, basi nitaacha muji wote salama kwa ajili yao.”
Nyochaa Mwanzo 18:26