1
Ezekieli 3:18
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Nikimwambia mutu mwovu kwamba hakika atakufa, nawe haumwonyi au kumwambia aache mwenendo wake mubaya apate kuyaokoa maisha yake, basi, mutu huyo mwovu atakufa kwa uovu wake; lakini wewe utabeba lazima ya damu yake.
Lee anya n'etiti ihe abụọ
Nyochaa Ezekieli 3:18
2
Ezekieli 3:19
Lakini, ukimwonya mutu huyo mwovu naye hauachi uovu wake au mwenendo wake mubaya, mutu huyo atakufa kwa ajili ya uovu wake, lakini wewe utakuwa umeyaokoa maisha yako.
Nyochaa Ezekieli 3:19
3
Ezekieli 3:17
Wewe mwanadamu, nimekuweka kuwa mulinzi wa Waisraeli. Utakuwa ukisikiliza maneno ninayokuambia na kwenda kuwatolea maonyo yangu.
Nyochaa Ezekieli 3:17
4
Ezekieli 3:20
Tena, kama mutu wa haki akigeuka katika haki yake na kutenda uovu, nami nikimwekea kikwazo, mutu huyo atakufa. Kwa vile haukumwonya, atakufa kwa sababu ya zambi yake, nayo matendo yake ya haki hayatakumbukwa. Lakini wewe utabeba lazima ya damu yake.
Nyochaa Ezekieli 3:20