1
Ezekieli 2:2-3
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Alipokuwa akisema nami, Roho wa Mungu akaniingia na kunisimamisha wima. Halafu nikamusikia akiniambia hivi: Wewe mwanadamu ninakutuma kwa Waisraeli, taifa la waasi ambao wameniasi. Wameendelea kunikosea mimi mpaka leo sawa vile babu zao walivyofanya.
Lee anya n'etiti ihe abụọ
Nyochaa Ezekieli 2:2-3
2
Ezekieli 2:7-8
Wewe utawaambia maneno yangu, wakisikia au wakikataa kusikia, maana hao ni watu waasi. Lakini, ewe mwanadamu, usikilize ninayokuambia, wala usikuwe mwasi kama watu hao waasi. Ufungue kinywa chako, ukule ninachokupa.
Nyochaa Ezekieli 2:7-8
3
Ezekieli 2:5
Wakisikia au wakikataa kusikia, maana hao ni watu waasi, watatambua kwamba nabii yuko katikati yao.
Nyochaa Ezekieli 2:5