1
Kutoka 25:8-9
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Vilevile Waisraeli watanitengenezea hema takatifu, kusudi niweze kukaa kati yao. Utatengeneza hema hiyo na vifaa vyake kulingana na mufano nitakaokuonyesha.
Lee anya n'etiti ihe abụọ
Nyochaa Kutoka 25:8-9
2
Kutoka 25:2
Uwaambie Waisraeli wanipe michango ya matoleo. Utapokea matoleo kutoka kwa mutu yeyote atakayetoa kwa moyo safi.
Nyochaa Kutoka 25:2