1
Kutoka 24:17-18
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Utukufu wa Yawe ukaonekana mbele ya macho ya watu wa Israeli kama moto unaowaka juu ya mulima. Musa akaingia ndani ya lile wingu, akapanda kwenye mulima. Alikaa kule kwa muda wa siku makumi ine, muchana na usiku.
Lee anya n'etiti ihe abụọ
Nyochaa Kutoka 24:17-18
2
Kutoka 24:16
Utukufu wa Yawe ukatua juu ya mulima Sinai na wingu likafunika mulima kwa muda wa siku sita. Siku ya saba Mungu akamwita Musa kutoka katikati ya lile wingu.
Nyochaa Kutoka 24:16
3
Kutoka 24:12
Yawe akamwambia Musa: Kuja kwangu juu kwenye mulima, ungoje kule. Mimi nitakupa vibao vya mawe vyenye sheria na amri nilizoandika kwa ajili ya kuwafundisha Waisraeli.
Nyochaa Kutoka 24:12