1
Kumbukumbu la Sheria 24:16
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
“Wazazi wasiuawe kwa makosa ya watoto wao, wala watoto wasiuawe kwa ajili ya makosa ya wazazi wao. Kila mutu atauawa kwa makosa yake mwenyewe.
Lee anya n'etiti ihe abụọ
Nyochaa Kumbukumbu la Sheria 24:16
2
Kumbukumbu la Sheria 24:5
“Mwanaume aliyetoka kuoa asiende kwa vita wala asipewe kazi yoyote ingine; aachwe huru kwa muda wa mwaka mumoja, kusudi akae kwake na kufurahi na muke wake.
Nyochaa Kumbukumbu la Sheria 24:5