1
Danieli 7:14
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Akapewa mamlaka, utukufu na ufalme, kusudi watu wa makabila yote, mataifa yote na luga zote wamutumikie. Utawala wake ni wa milele na ufalme wake hautaangamizwa hata kidogo.
Lee anya n'etiti ihe abụọ
Nyochaa Danieli 7:14
2
Danieli 7:13
Wakati wa maono haya usiku, niliona kiumbe kinachofanana na mwanadamu. Akakuja katika mawingu na kumwendea yule Muzee wa zamani sana. Akakaribishwa mbele yake.
Nyochaa Danieli 7:13
3
Danieli 7:27
Ufalme, utawala na ukubwa wa falme zote katika dunia watapewa kwa watu wa watakatifu wa Mungu Mukubwa. Ufalme wao utakuwa wa kudumu milele, na tawala zote zitawatumikia na kuwatii.
Nyochaa Danieli 7:27
4
Danieli 7:18
Lakini watakatifu wa Mungu Mukubwa watapewa ufalme, nao wataupokea ufalme huo milele na milele.
Nyochaa Danieli 7:18