1
Amosi 6:1
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Ole kwenu ninyi munaostarehe kule Sayuni, nanyi munaoishi katika usalama kwenye mulima Samaria! Ninyi munaonekana kuwa waongozi wa taifa kubwa, ambao Waisraeli wote wanawategemea.
Lee anya n'etiti ihe abụọ
Nyochaa Amosi 6:1
2
Amosi 6:6
Munakunywa divai katika mabakuli, na kujipakaa marasi mazuri kabisa. Lakini hamuhuzuniki hata kidogo juu ya kuangamia kwa wazao wa Yosefu.
Nyochaa Amosi 6:6