1
Luka 21:36
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
SCLDC10
Muwe waangalifu basi, na salini daima ili muweze kupata nguvu ya kupita salama katika mambo haya yote yatakayotokea, na kusimama mbele ya Mwana wa Mtu.”
Konpare
Eksplore Luka 21:36
2
Luka 21:34
“Muwe macho, mioyo yenu isije ikalemewa na anasa, ulevi na shughuli za maisha haya. La sivyo, siku ile itawajieni ghafla.
Eksplore Luka 21:34
3
Luka 21:19
Kwa uvumilivu wenu, mtayaokoa maisha yenu.
Eksplore Luka 21:19
4
Luka 21:15
kwa sababu mimi mwenyewe nitawapeni ufasaha wa maneno na hekima, hata maadui zenu hawataweza kustahimili wala kupinga.
Eksplore Luka 21:15
5
Luka 21:33
Mbingu na dunia zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.
Eksplore Luka 21:33
6
Luka 21:25-27
“Kutakuwa na ishara katika jua na mwezi na nyota. Mataifa duniani yatakuwa na dhiki kwa sababu ya wasiwasi kutokana na mshindo wa mawimbi ya bahari. Watu watazirai kwa sababu ya woga, wakitazamia mambo yatakayoupata ulimwengu; kwa maana nguvu za mbingu zitatikiswa. Halafu, watamwona Mwana wa Mtu akija katika wingu, mwenye nguvu na utukufu mwingi.
Eksplore Luka 21:25-27
7
Luka 21:17
Watu wote watawachukieni nyinyi kwa sababu ya jina langu.
Eksplore Luka 21:17
8
Luka 21:11
Kila mahali kutakuwa na mitetemeko mikubwa ya ardhi, njaa na tauni. Kutakuwa na vituko vya kutisha na ishara kubwa angani.
Eksplore Luka 21:11
9
Luka 21:9-10
Basi, mtakaposikia habari za vita na misukosuko, msitishike; maana ni lazima hayo yatokee kwanza, lakini mwisho wa yote, bado.” Halafu akaendelea kusema: “Taifa moja litapigana na taifa lingine, na ufalme mmoja utapigana na ufalme mwingine.
Eksplore Luka 21:9-10
10
Luka 21:25-26
“Kutakuwa na ishara katika jua na mwezi na nyota. Mataifa duniani yatakuwa na dhiki kwa sababu ya wasiwasi kutokana na mshindo wa mawimbi ya bahari. Watu watazirai kwa sababu ya woga, wakitazamia mambo yatakayoupata ulimwengu; kwa maana nguvu za mbingu zitatikiswa.
Eksplore Luka 21:25-26
11
Luka 21:10
Halafu akaendelea kusema: “Taifa moja litapigana na taifa lingine, na ufalme mmoja utapigana na ufalme mwingine.
Eksplore Luka 21:10
12
Luka 21:8
Yesu akawajibu, “Jihadharini, msije mkadanganyika. Maana wengi watatokea na kulitumia jina langu, kila mmoja akidai kwamba yeye ni mimi, na kwamba wakati ule umekaribia. Lakini nyinyi msiwafuate!
Eksplore Luka 21:8
Akèy
Bib
Plan yo
Videyo