Logo YouVersion
BibPlan yoVideyo
Pran aplikasyon an
Seleksyone Lang
Chache Icon

Vèsè popilè nan Bib la ki soti nan Mathayo 11

1

Mathayo 11:28

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Njooni kwangu ninyi nyote mliochoka kutokana na mizigo mizito mnayolazimishwa kubeba. Nitawapa pumziko.

Konpare

Eksplore Mathayo 11:28

2

Mathayo 11:29

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Chukueni nira yangu, jifunzeni kutoka kwangu. Mimi ni mwema na mnyenyekevu katika roho. Nanyi mtaweza kupumzika.

Konpare

Eksplore Mathayo 11:29

3

Mathayo 11:30

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Ndiyo, nira yangu ni rahisi. Mzigo ninaowapa muubebe ni mwepesi.”

Konpare

Eksplore Mathayo 11:30

4

Mathayo 11:27

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Baba yangu amenipa kila kitu. Hakuna amjuaye Mwana isipokuwa Baba peke yake. Na hakuna amjuaye Baba isipokuwa Mwana ndiye anayemjua Baba. Na watu pekee watakaomjua Baba ni wale ambao Mwana atachagua kuwaonesha.

Konpare

Eksplore Mathayo 11:27

5

Mathayo 11:4-5

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Yesu akajibu, “Rudini mkamwambie Yohana yale mliyosikia na kuona: Vipofu wanaona. Viwete wanatembea. Watu wenye magonjwa ya ngozi wanaponywa. Wasiyesikia wanasikia. Wafu wanafufuliwa. Na habari njema inahubiriwa kwa maskini.

Konpare

Eksplore Mathayo 11:4-5

6

Mathayo 11:15

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Ninyi watu mnaonisikia, sikilizeni!

Konpare

Eksplore Mathayo 11:15

Plan lekti ak devosyon gratis yo ki gen rapò ak Mathayo 11

Chapit Avan yo
Chapit suivan
YouVersion

Ankouraje ak defi pou w chèche entimite ak Bondye chak jou.

Ministè

Apwopo

Karyè yo

Volontè

Blòg

Peze

Lyen itil yo

Ed

Fè yon don

Vèsyon Bib yo

Odyo Bib yo

Diferan Lang yo nan Bib la

Vèsè Jodi a


Yon Ministè Digital nan

Life.Church
Kreyòl Ayisyen

©2026 Life.Church / YouVersion

Politik PriveTèm yo
Pwogram Divilgasyon Vilnerabilite
FacebookTwitterInstagramYouTubePinterest